Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hata hivyo, nitakuambia mambo yaliyoandikwa katika maandishi ya kweli,+ wala hakuna yeyote anayenitegemeza kwa nguvu katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ yule mkuu wenu.+

  • Danieli 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Mikaeli+ atasimama wakati huo, yule mkuu+ anayesimama+ kwa ajili ya wana wa watu wako.+ Na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo haijapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka wakati huo.+ Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mmoja anayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+

  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+

  • Ufunuo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na vita vikatokea ghafula mbinguni: Mikaeli+ na malaika zake wakapigana na yule joka mkubwa, naye joka mkubwa na malaika zake wakapigana

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki