12 “Wakati huo Mikaeli+ atasimama, yule mkuu+ anayesimama kwa ajili ya watu wako. Na kutakuwa na wakati wa taabu ambao haujawahi kamwe kutokea tangu kuanzishwa kwa taifa lolote mpaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mtu atakayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+