Danieli 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hata hivyo, nitakwambia mambo yaliyoandikwa katika kitabu cha kweli. Hakuna yeyote anayeniunga mkono kwa uthabiti katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ mkuu wako.+
21 Hata hivyo, nitakwambia mambo yaliyoandikwa katika kitabu cha kweli. Hakuna yeyote anayeniunga mkono kwa uthabiti katika mambo haya isipokuwa Mikaeli,+ mkuu wako.+