Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+ Yoeli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+ Mathayo 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, kama siku hizo hazingefupishwa, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa; lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa+ siku hizo zitafupishwa.+ Ufunuo 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mmoja wa wale wazee+ akajibu, akaniambia: “Hawa waliovaa kanzu nyeupe,+ wao ni nani nao walitoka wapi?”
20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+
31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
22 Kwa kweli, kama siku hizo hazingefupishwa, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa; lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa+ siku hizo zitafupishwa.+
13 Na mmoja wa wale wazee+ akajibu, akaniambia: “Hawa waliovaa kanzu nyeupe,+ wao ni nani nao walitoka wapi?”