Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.
5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+
4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.