Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Ninyi wenyewe mmeona niliyowatendea Wamisri,+ ili nipate kuwachukua ninyi juu ya mabawa ya tai na kuwaleta kwangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama vile tai anavyokitikisa kiota chake,

      Anavyoelea angani juu ya watoto wake,+

      Anavyotandaza mabawa yake, na kuwachukua,

      Anavyowachukua kwenye manyoya yake,+

  • Ruthu 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova na akupe thawabu kwa sababu ya jinsi unavyotenda,+ na upate malipo kamili+ kutoka kwa Yehova Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kutafuta kimbilio chini ya mabawa yake.”+

  • Zaburi 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Unitunze kama mboni ya jicho,+

      Katika kivuli cha mabawa yako unifiche,+

  • Zaburi 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+

      Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+

      Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+

  • Zaburi 61:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nitakuwa mgeni katika hema lako mpaka nyakati zisizo na

      kipimo;+

      Nitakimbilia maficho ya mabawa yako.+ Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki