Ruthu 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na akupe thawabu kwa sababu ya jinsi unavyotenda,+ na upate malipo kamili+ kutoka kwa Yehova Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kutafuta kimbilio chini ya mabawa yake.”+ Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+ Zaburi 63:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana umenisaidia,+Na katika kivuli cha mabawa yako napiga vigelegele kwa shangwe.+
12 Yehova na akupe thawabu kwa sababu ya jinsi unavyotenda,+ na upate malipo kamili+ kutoka kwa Yehova Mungu wa Israeli, ambaye umekuja kutafuta kimbilio chini ya mabawa yake.”+
7 Jinsi zilivyo na thamani fadhili zako zenye upendo, Ee Mungu!+Nao wana wa binadamu hupata kimbilio katika kivuli cha mabawa yako.+
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+