Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi watu wote waliokuwa katika lango hilo na wale wanaume wazee wakasema: “Sisi ni mashahidi! Yehova na amwezeshe mke anayekuja nyumbani mwako kuwa kama Raheli+ na kama Lea,+ wale wawili walioijenga nyumba ya Israeli;+ nawe uhakikishe thamani yako katika Efratha+ na kufanya jina lenye sifa katika Bethlehemu.+

  • Ruthu 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha wanawake majirani+ wakampa jina, wakisema: “Naomi amepata mwana.” Nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ baba ya Daudi.

  • Zaburi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tutapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya wokovu wako,+

      Nasi tutainua bendera zetu katika jina la Mungu wetu.+

      Yehova na atimize maombi yako yote.+

  • Mathayo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu;+

      Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu;+

      Obedi akamzaa Yese;+

  • Mathayo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yakobo akamzaa Yosefu mume wa Maria, ambaye kwake Yesu alizaliwa,+ anayeitwa Kristo.+

  • Waebrania 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki