28 Kwa hiyo Yesu akapaaza sauti alipokuwa akifundisha katika hekalu na kusema: “Ninyi mnanijua tena mnajua nimetoka wapi.+ Pia, sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe,+ lakini yule aliyenituma ni halisi,+ nanyi hammjui.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+