1 Samweli 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu. Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+ Waroma 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.
12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+