Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye atapanda kama tawi+ mbele ya mtu, na kama mzizi kutoka katika nchi isiyo na maji. Yeye hana umbo la fahari,+ wala utukufu wowote; nasi tutakapomwona, hana sura ili kwamba tumtamani.+

  • Zekaria 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe umwambie,

      “‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+

  • Ufunuo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”

  • Ufunuo 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Mimi, Yesu, nilimtuma malaika wangu kuwatolea ninyi ushahidi juu ya mambo haya kwa ajili ya yale makutaniko. Mimi ndiye mzizi+ na uzao+ wa Daudi, na nyota nyangavu ya asubuhi.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki