Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Mikono yenu na iwe na nguvu,+ ninyi ambao siku hizi mnayasikia maneno haya kutoka katika kinywa cha manabii,+ katika siku ulipowekwa msingi wa nyumba ya Yehova wa majeshi, ili hekalu lijengwe.+

  • Mathayo 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

  • Waebrania 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki