9 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Mikono yenu na iwe na nguvu,+ ninyi ambao siku hizi mnayasikia maneno haya kutoka katika kinywa cha manabii,+ katika siku ulipowekwa msingi wa nyumba ya Yehova wa majeshi, ili hekalu lijengwe.+
6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+