Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hivyo utapata mafanikio+ ukiangalia kutenda masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Yehova alimwamuru+ Musa kuhusu Israeli. Uwe hodari na mwenye nguvu.+ Usiogope+ wala usiingiwe na hofu.+

  • Isaya 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:+ “Iweni na nguvu.+ Msiogope.+ Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,+ Mungu akiwa na malipo.+ Yeye mwenyewe atakuja na kuwaokoa ninyi.”+

  • Hagai 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Lakini sasa, uwe na nguvu, Ee Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘na uwe na nguvu,+ Ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.’

      “ ‘Nanyi iweni na nguvu, ninyi nyote watu wa nchi,’ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’+

      “ ‘Kwa maana nipo pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki