Zaburi 56:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku yoyote ile nitakayoogopa, mimi nitakutegemea wewe.+ Sefania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Siku hiyo Yerusalemu litaambiwa: “Usiogope, Ee Sayuni.+ Mikono yako isilegee.+ Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+ Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+