Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+

  • Hagai 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Lakini sasa, uwe na nguvu, Ee Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘na uwe na nguvu,+ Ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.’

      “ ‘Nanyi iweni na nguvu, ninyi nyote watu wa nchi,’ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’+

      “ ‘Kwa maana nipo pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Waefeso 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwishowe, endeleeni kujipatia nguvu+ katika Bwana na katika uwezo+ wa nguvu zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki