1 Samweli 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Yehova akaja na kusimama hapo, akaita kama katika zile nyakati za kwanza: “Samweli, Samweli!” Ndipo Samweli akasema: “Sema, kwa maana mtumishi wako anasikiliza.”+
10 Ndipo Yehova akaja na kusimama hapo, akaita kama katika zile nyakati za kwanza: “Samweli, Samweli!” Ndipo Samweli akasema: “Sema, kwa maana mtumishi wako anasikiliza.”+