2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate, na kwa nini kazi yenu ni kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi?+ Nisikilizeni kwa makini, na mle yaliyo mema,+ na nafsi yenu ipate furaha tele katika unono.+
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+