Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 85:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Nitasikia jambo ambalo Mungu wa kweli Yehova atasema,+

      Kwa maana atasema amani kwa watu wake+ na kwa washikamanifu wake,

      Lakini wasirudi kujitumaini.+

  • Isaya 55:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate, na kwa nini kazi yenu ni kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi?+ Nisikilizeni kwa makini, na mle yaliyo mema,+ na nafsi yenu ipate furaha tele katika unono.+

  • Danieli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye kutamanika sana.+ Na uwe na amani.+ Uwe na nguvu, ndiyo, uwe na nguvu.”+ Mara tu aliposema nami, nikapata nguvu halafu nikasema: “Bwana wangu na aseme,+ kwa maana umenitia nguvu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki