Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:+ “Iweni na nguvu.+ Msiogope.+ Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,+ Mungu akiwa na malipo.+ Yeye mwenyewe atakuja na kuwaokoa ninyi.”+

  • Hagai 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Lakini sasa, uwe na nguvu, Ee Zerubabeli,’ asema Yehova, ‘na uwe na nguvu,+ Ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu.’

      “ ‘Nanyi iweni na nguvu, ninyi nyote watu wa nchi,’ asema Yehova, ‘na mfanye kazi.’+

      “ ‘Kwa maana nipo pamoja nanyi,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Zekaria 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Mikono yenu na iwe na nguvu,+ ninyi ambao siku hizi mnayasikia maneno haya kutoka katika kinywa cha manabii,+ katika siku ulipowekwa msingi wa nyumba ya Yehova wa majeshi, ili hekalu lijengwe.+

  • 1 Wakorintho 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kaeni macho,+ simameni imara katika imani,+ endeleeni kuwa kama wanaume,+ iweni na nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki