Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Kwa maana atakuja juu yake, juu ya Babiloni, mporaji,+ na wanaume wake wenye nguvu hakika watakamatwa.+ Pinde zao zitavunjwa-vunjwa,+ kwa maana Yehova ni Mungu wa malipo.+ Bila shaka atalipa.+

  • 2 Wathesalonike 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+

  • Ufunuo 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: “Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu+ mtakatifu na wa kweli,+ kuhukumu+ na kulipiza kisasi cha damu+ yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki