Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+Naye atawalipa kisasi adui zake+Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”