7 Nawe uipige nyumba ya Ahabu bwana wako, nami lazima nilipize kisasi+ damu ya watumishi wangu manabii na damu ya watumishi wote wa Yehova mkononi mwa Yezebeli.+
10 Nao wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: “Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu+ mtakatifu na wa kweli,+ kuhukumu+ na kulipiza kisasi cha damu+ yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”