Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+ Ufunuo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: “Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu+ mtakatifu na wa kweli,+ kuhukumu+ na kulipiza kisasi cha damu+ yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+
10 Nao wakalia kwa sauti kubwa, wakisema: “Utajizuia mpaka wakati gani, Bwana Mwenye Enzi Kuu+ mtakatifu na wa kweli,+ kuhukumu+ na kulipiza kisasi cha damu+ yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”