Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Zaburi 99:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee Yehova Mungu wetu, wewe mwenyewe uliwajibu.+

      Ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe,+

      Na mwenye kulipiza kisasi juu ya matendo yao yenye sifa mbaya.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

  • Waebrania 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki