Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Mika 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na katika hasira na ghadhabu nitalipiza kisasi juu ya mataifa ambayo hayakutii.”+

  • Waroma 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako.+ Lakini ikiwa unafanya mabaya,+ ogopa: kwa maana haichukui upanga bila kusudi; kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu, mlipiza-kisasi+ ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya.

  • Waebrania 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki