Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ Mika 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na katika hasira na ghadhabu nitalipiza kisasi juu ya mataifa ambayo hayakutii.”+ Waroma 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako.+ Lakini ikiwa unafanya mabaya,+ ogopa: kwa maana haichukui upanga bila kusudi; kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu, mlipiza-kisasi+ ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya. Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako.+ Lakini ikiwa unafanya mabaya,+ ogopa: kwa maana haichukui upanga bila kusudi; kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu, mlipiza-kisasi+ ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya.
30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+