Yeremia 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hizo ni ubatili, kazi ya mzaha.+ Zitaangamia siku zitakapokaziwa fikira.+ Luka 19:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 nao watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe+ ndani yako, kwa sababu hukufahamu wakati wa kukaguliwa kwako.”+
44 nao watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe+ ndani yako, kwa sababu hukufahamu wakati wa kukaguliwa kwako.”+