Zaburi 137:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Atakuwa ni mwenye furaha yeye anayewakamata na kuwavunja vipande-vipande+Watoto wako juu ya mwamba. Mika 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu. Luka 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yesu akawageukia wanawake hao na kusema: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Badala yake, jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+
9 Atakuwa ni mwenye furaha yeye anayewakamata na kuwavunja vipande-vipande+Watoto wako juu ya mwamba.
12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.
28 Yesu akawageukia wanawake hao na kusema: “Binti za Yerusalemu, acheni kunililia. Badala yake, jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu;+