Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+

      Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+

      Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+

  • Yeremia 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mika+ wa Moreshethi+ alikuwa akitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda+ naye akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Sayuni utalimwa kama shamba,+ na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa ile Nyumba utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.”’+

  • Mika 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitalifanya Samaria kuwa rundo la mabomoko ya shambani,+ mahali pa kupanda mizabibu; nami nitamwaga mawe yake katika bonde, na misingi yake nitaifunua.+

  • Mathayo 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki