2 Wafalme 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+
25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+