Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 19:1

Marejeo

  • +Isa 37:1
  • +1Sa 4:12; 2Fa 18:37; Ezr 9:3; Ayu 1:20
  • +Mwa 37:34; 1Fa 21:27; 2Fa 6:30; Est 4:1; Zb 35:13; Isa 22:12
  • +2Nya 7:16; Zb 73:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 337

2 Wafalme 19:2

Marejeo

  • +2Fa 18:18
  • +Isa 37:2
  • +Isa 1:1
  • +Isa 2:1

2 Wafalme 19:3

Marejeo

  • +2Sa 22:7; 2Nya 20:9; Ayu 5:19; Ho. 5:15
  • +Ebr 3:15
  • +2Fa 18:32; Ne 4:4
  • +Isa 26:17
  • +Isa 37:3

2 Wafalme 19:4

Marejeo

  • +Zb 65:2
  • +1Sa 17:45; 2Fa 18:35
  • +Zb 74:22
  • +2Nya 32:20; Zb 50:15; Yak 5:16
  • +Isa 37:4

2 Wafalme 19:5

Marejeo

  • +Isa 37:5

2 Wafalme 19:6

Marejeo

  • +Isa 37:6
  • +Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
  • +2Fa 18:17; Zb 74:18

2 Wafalme 19:7

Marejeo

  • +Ayu 4:9; Isa 37:7
  • +Ayu 15:21; Met 21:1; Oba 1
  • +2Nya 32:21; Isa 37:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 73

2 Wafalme 19:8

Marejeo

  • +2Fa 18:17
  • +Yos 10:29; 2Fa 8:22; Isa 37:8
  • +2Fa 18:14; Mik 1:13

2 Wafalme 19:9

Marejeo

  • +2Fa 18:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    2/8/1991, uku. 20

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1988, kur. 26-27

2 Wafalme 19:10

Marejeo

  • +2Fa 18:5, 30; 2Nya 32:15
  • +2Nya 32:2
  • +Isa 37:10

2 Wafalme 19:11

Marejeo

  • +2Fa 17:5; 2Nya 32:13; Isa 10:11
  • +Isa 37:11

2 Wafalme 19:12

Marejeo

  • +1Nya 16:26; 1Ko 8:4
  • +Isa 37:12
  • +Mwa 11:31; 29:4
  • +Eze 27:23
  • +Isa 37:12

2 Wafalme 19:13

Marejeo

  • +2Fa 17:24
  • +2Fa 18:34
  • +Isa 37:13

2 Wafalme 19:14

Marejeo

  • +Isa 37:14
  • +1Fa 8:30; Ezr 9:5; Zb 74:10

2 Wafalme 19:15

Marejeo

  • +2Nya 32:20; Da 9:3; Flp 4:6
  • +1Fa 8:23
  • +Kut 25:22; Law 16:2; 1Sa 4:4; Zb 80:1
  • +1Nya 29:11
  • +2Fa 5:15; Isa 44:6; Da 4:25
  • +Mwa 1:1; Zb 96:5; 102:25; Yoh 1:3
  • +Isa 37:16

2 Wafalme 19:16

Marejeo

  • +1Fa 8:29; Zb 31:2; 65:2
  • +2Nya 16:9; Da 9:18
  • +Met 27:11; Isa 37:4, 17

2 Wafalme 19:17

Marejeo

  • +2Fa 16:9; 17:6, 24

2 Wafalme 19:18

Marejeo

  • +Zb 96:5; Isa 37:19; 41:29; 1Ko 8:4
  • +Zb 115:4; Yer 10:3; Mdo 17:29

2 Wafalme 19:19

Marejeo

  • +Zb 135:4
  • +Isa 37:20
  • +Zb 83:18; Isa 45:5

2 Wafalme 19:20

Marejeo

  • +Isa 37:21
  • +Isa 58:9
  • +2Fa 19:15; Met 15:8

2 Wafalme 19:21

Marejeo

  • +Omb 1:15; 2:13; Mik 4:8; Zek 9:9
  • +Ayu 22:19
  • +Isa 37:22
  • +Ayu 16:4; Zb 22:7; 109:25; Mt 27:39

2 Wafalme 19:22

Marejeo

  • +2Fa 19:10
  • +Hes 15:30
  • +2Fa 18:30; Isa 10:13; 14:13; Mt 23:12
  • +Met 30:13; Isa 37:23
  • +Zb 71:22; 89:18; Yer 51:5

2 Wafalme 19:23

Marejeo

  • +2Fa 18:17
  • +2Fa 19:4; 2Nya 32:17
  • +Ayu 40:11; Zb 20:7; 68:17
  • +Isa 10:10
  • +1Fa 5:6
  • +Amu 9:15; 2Fa 14:9
  • +Isa 14:8; 37:24; 60:13; Eze 31:8
  • +Isa 37:24

2 Wafalme 19:24

Marejeo

  • +Isa 37:25

2 Wafalme 19:25

Marejeo

  • +Kut 9:14; Yos 9:9; 1Sa 4:8; Isa 37:26
  • +Isa 14:24
  • +Law 26:33; Zb 33:11; Isa 46:11
  • +Isa 46:10
  • +Law 26:32; Isa 10:5; 37:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2024, uku. 30

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1999, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 8/15 14

2 Wafalme 19:26

Marejeo

  • +Zb 48:6; Yer 51:30
  • +Zb 48:5
  • +Zb 92:7; Isa 40:7; Yak 1:11
  • +Zb 129:6
  • +Zb 102:11; Isa 37:27

2 Wafalme 19:27

Marejeo

  • +2Nya 16:9; Yer 23:24; Ebr 4:13; 1Pe 3:12
  • +Kum 28:6; Zb 121:8; Met 5:21
  • +Isa 37:28

2 Wafalme 19:28

Marejeo

  • +Zb 10:13; 46:6; Isa 10:15
  • +2Fa 18:35; Zb 74:4; 83:2; Isa 10:13
  • +Zb 32:9; Eze 38:4; Amo 4:2
  • +2Fa 19:33; Isa 37:29

2 Wafalme 19:29

Marejeo

  • +2Fa 20:8; Zb 65:8; Isa 7:11
  • +Law 25:5
  • +Mwa 8:22
  • +Isa 37:30

2 Wafalme 19:30

Marejeo

  • +2Nya 32:22; Isa 10:20
  • +Isa 37:31

2 Wafalme 19:31

Marejeo

  • +Isa 10:21; Yer 44:14; Ro 9:27; 11:5
  • +Isa 37:32
  • +Isa 9:7; 59:17; Eze 5:13; Zek 1:14

2 Wafalme 19:32

Marejeo

  • +Isa 10:24
  • +2Nya 32:22
  • +Isa 37:33
  • +2Sa 20:15; Eze 21:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 28

2 Wafalme 19:33

Marejeo

  • +Isa 37:34

2 Wafalme 19:34

Marejeo

  • +2Fa 20:6; Isa 31:5; 37:35
  • +1Sa 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
  • +Yer 23:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 145

2 Wafalme 19:35

Marejeo

  • +1Nya 12:22
  • +2Nya 32:21; Isa 31:8; 37:36
  • +Kut 12:30; Zb 76:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1993, uku. 6

    2/15/1988, uku. 28

2 Wafalme 19:36

Marejeo

  • +2Fa 19:7, 28
  • +Isa 37:37
  • +Mwa 10:11; Yon 1:2; Nah 2:8; Sef 2:13

2 Wafalme 19:37

Marejeo

  • +Isa 37:38
  • +Kum 32:31; 2Nya 32:21
  • +Met 3:33; 13:21
  • +Mwa 8:4; Yer 51:27
  • +Ezr 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 73

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 19:1Isa 37:1
2 Fal. 19:11Sa 4:12; 2Fa 18:37; Ezr 9:3; Ayu 1:20
2 Fal. 19:1Mwa 37:34; 1Fa 21:27; 2Fa 6:30; Est 4:1; Zb 35:13; Isa 22:12
2 Fal. 19:12Nya 7:16; Zb 73:17
2 Fal. 19:22Fa 18:18
2 Fal. 19:2Isa 37:2
2 Fal. 19:2Isa 1:1
2 Fal. 19:2Isa 2:1
2 Fal. 19:32Sa 22:7; 2Nya 20:9; Ayu 5:19; Ho. 5:15
2 Fal. 19:3Ebr 3:15
2 Fal. 19:32Fa 18:32; Ne 4:4
2 Fal. 19:3Isa 26:17
2 Fal. 19:3Isa 37:3
2 Fal. 19:4Zb 65:2
2 Fal. 19:41Sa 17:45; 2Fa 18:35
2 Fal. 19:4Zb 74:22
2 Fal. 19:42Nya 32:20; Zb 50:15; Yak 5:16
2 Fal. 19:4Isa 37:4
2 Fal. 19:5Isa 37:5
2 Fal. 19:6Isa 37:6
2 Fal. 19:6Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
2 Fal. 19:62Fa 18:17; Zb 74:18
2 Fal. 19:7Ayu 4:9; Isa 37:7
2 Fal. 19:7Ayu 15:21; Met 21:1; Oba 1
2 Fal. 19:72Nya 32:21; Isa 37:38
2 Fal. 19:82Fa 18:17
2 Fal. 19:8Yos 10:29; 2Fa 8:22; Isa 37:8
2 Fal. 19:82Fa 18:14; Mik 1:13
2 Fal. 19:92Fa 18:17
2 Fal. 19:102Fa 18:5, 30; 2Nya 32:15
2 Fal. 19:102Nya 32:2
2 Fal. 19:10Isa 37:10
2 Fal. 19:112Fa 17:5; 2Nya 32:13; Isa 10:11
2 Fal. 19:11Isa 37:11
2 Fal. 19:121Nya 16:26; 1Ko 8:4
2 Fal. 19:12Isa 37:12
2 Fal. 19:12Mwa 11:31; 29:4
2 Fal. 19:12Eze 27:23
2 Fal. 19:12Isa 37:12
2 Fal. 19:132Fa 17:24
2 Fal. 19:132Fa 18:34
2 Fal. 19:13Isa 37:13
2 Fal. 19:14Isa 37:14
2 Fal. 19:141Fa 8:30; Ezr 9:5; Zb 74:10
2 Fal. 19:152Nya 32:20; Da 9:3; Flp 4:6
2 Fal. 19:151Fa 8:23
2 Fal. 19:15Kut 25:22; Law 16:2; 1Sa 4:4; Zb 80:1
2 Fal. 19:151Nya 29:11
2 Fal. 19:152Fa 5:15; Isa 44:6; Da 4:25
2 Fal. 19:15Mwa 1:1; Zb 96:5; 102:25; Yoh 1:3
2 Fal. 19:15Isa 37:16
2 Fal. 19:161Fa 8:29; Zb 31:2; 65:2
2 Fal. 19:162Nya 16:9; Da 9:18
2 Fal. 19:16Met 27:11; Isa 37:4, 17
2 Fal. 19:172Fa 16:9; 17:6, 24
2 Fal. 19:18Zb 96:5; Isa 37:19; 41:29; 1Ko 8:4
2 Fal. 19:18Zb 115:4; Yer 10:3; Mdo 17:29
2 Fal. 19:19Zb 135:4
2 Fal. 19:19Isa 37:20
2 Fal. 19:19Zb 83:18; Isa 45:5
2 Fal. 19:20Isa 37:21
2 Fal. 19:20Isa 58:9
2 Fal. 19:202Fa 19:15; Met 15:8
2 Fal. 19:21Omb 1:15; 2:13; Mik 4:8; Zek 9:9
2 Fal. 19:21Ayu 22:19
2 Fal. 19:21Isa 37:22
2 Fal. 19:21Ayu 16:4; Zb 22:7; 109:25; Mt 27:39
2 Fal. 19:222Fa 19:10
2 Fal. 19:22Hes 15:30
2 Fal. 19:222Fa 18:30; Isa 10:13; 14:13; Mt 23:12
2 Fal. 19:22Met 30:13; Isa 37:23
2 Fal. 19:22Zb 71:22; 89:18; Yer 51:5
2 Fal. 19:232Fa 18:17
2 Fal. 19:232Fa 19:4; 2Nya 32:17
2 Fal. 19:23Ayu 40:11; Zb 20:7; 68:17
2 Fal. 19:23Isa 10:10
2 Fal. 19:231Fa 5:6
2 Fal. 19:23Amu 9:15; 2Fa 14:9
2 Fal. 19:23Isa 14:8; 37:24; 60:13; Eze 31:8
2 Fal. 19:23Isa 37:24
2 Fal. 19:24Isa 37:25
2 Fal. 19:25Kut 9:14; Yos 9:9; 1Sa 4:8; Isa 37:26
2 Fal. 19:25Isa 14:24
2 Fal. 19:25Law 26:33; Zb 33:11; Isa 46:11
2 Fal. 19:25Isa 46:10
2 Fal. 19:25Law 26:32; Isa 10:5; 37:26
2 Fal. 19:26Zb 48:6; Yer 51:30
2 Fal. 19:26Zb 48:5
2 Fal. 19:26Zb 92:7; Isa 40:7; Yak 1:11
2 Fal. 19:26Zb 129:6
2 Fal. 19:26Zb 102:11; Isa 37:27
2 Fal. 19:272Nya 16:9; Yer 23:24; Ebr 4:13; 1Pe 3:12
2 Fal. 19:27Kum 28:6; Zb 121:8; Met 5:21
2 Fal. 19:27Isa 37:28
2 Fal. 19:28Zb 10:13; 46:6; Isa 10:15
2 Fal. 19:282Fa 18:35; Zb 74:4; 83:2; Isa 10:13
2 Fal. 19:28Zb 32:9; Eze 38:4; Amo 4:2
2 Fal. 19:282Fa 19:33; Isa 37:29
2 Fal. 19:292Fa 20:8; Zb 65:8; Isa 7:11
2 Fal. 19:29Law 25:5
2 Fal. 19:29Mwa 8:22
2 Fal. 19:29Isa 37:30
2 Fal. 19:302Nya 32:22; Isa 10:20
2 Fal. 19:30Isa 37:31
2 Fal. 19:31Isa 10:21; Yer 44:14; Ro 9:27; 11:5
2 Fal. 19:31Isa 37:32
2 Fal. 19:31Isa 9:7; 59:17; Eze 5:13; Zek 1:14
2 Fal. 19:32Isa 10:24
2 Fal. 19:322Nya 32:22
2 Fal. 19:32Isa 37:33
2 Fal. 19:322Sa 20:15; Eze 21:22
2 Fal. 19:33Isa 37:34
2 Fal. 19:342Fa 20:6; Isa 31:5; 37:35
2 Fal. 19:341Sa 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
2 Fal. 19:34Yer 23:5
2 Fal. 19:351Nya 12:22
2 Fal. 19:352Nya 32:21; Isa 31:8; 37:36
2 Fal. 19:35Kut 12:30; Zb 76:6
2 Fal. 19:362Fa 19:7, 28
2 Fal. 19:36Isa 37:37
2 Fal. 19:36Mwa 10:11; Yon 1:2; Nah 2:8; Sef 2:13
2 Fal. 19:37Isa 37:38
2 Fal. 19:37Kum 32:31; 2Nya 32:21
2 Fal. 19:37Met 3:33; 13:21
2 Fal. 19:37Mwa 8:4; Yer 51:27
2 Fal. 19:37Ezr 4:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 19:1-37

2 Wafalme

19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+ 2 Na zaidi ya hayo, akamtuma Eliakimu,+ aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na wanaume wazee wa makuhani wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa Isaya+ nabii, mwana wa Amozi.+ 3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo+ na ya dharau yenye dhihaka;+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi,+ na hakuna nguvu za kuzaa.+ 4 Pengine Yehova Mungu wako atayasikia+ maneno yote ya Rabshake, ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake alimtuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai, naye kwa kweli atamtoza hesabu kwa ajili ya maneno ambayo Yehova, Mungu wako, ameyasikia.+ Nawe uinue sala+ kwa ajili ya mabaki+ ambao wanapatikana.’”

5 Basi watumishi wa Mfalme Hezekia wakaingia kwa Isaya.+ 6 Ndipo Isaya akawaambia: “Mwambieni bwana wenu, ‘Yehova amesema hivi:+ “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamesema vibaya kunihusu.+ 7 Tazama, ninatia roho+ ndani yake, naye atasikia habari+ na kurudi katika nchi yake mwenyewe; nami hakika nitamwangusha kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.”’”+

8 Baada ya hapo Rabshake+ akarudi na kumkuta mfalme wa Ashuru akipigana na Libna;+ kwa maana alikuwa amesikia kwamba ameondoka Lakishi.+ 9 Alisikia ikisemwa hivi kumhusu Tirhaka mfalme wa Ethiopia: “Tazama, amekuja kupigana nawe.” Kwa hiyo akatuma wajumbe+ tena kwa Hezekia, na kusema: 10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+ 11 Tazama! Wewe mwenyewe umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza;+ na je, wewe mwenyewe utakombolewa?+ 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa, naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?+ 13 Yuko wapi—mfalme wa Hamathi+ na mfalme wa Arpadi+ na mfalme wa majiji ya Sefarvaimu, Hena na Iva?’”+

14 Ndipo Hezekia akaichukua ile barua kutoka mkononi mwa wale wajumbe, akaisoma,+ kisha Hezekia akaenda katika nyumba ya Yehova, akaitandaza mbele za Yehova.+ 15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele za Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme+ zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu+ na dunia.+ 16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno ya Senakeribu ambayo ametuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai. 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameiteketeza miungu yao kwa moto, kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe; hivi kwamba wakaiharibu. 19 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ tafadhali, utuokoe+ kutoka mkononi mwake, ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+

20 Na Isaya mwana wa Amozi akatuma habari kwa Hezekia, na kusema: “Yehova, Mungu wa Israeli amesema hivi,+ ‘Nimeisikia+ sala+ ambayo umenitolea kumhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru. 21 Yehova amesema neno hili juu yake:

“Bikira, binti Sayuni, amekudharau,+ amekudhihaki.+

Binti Yerusalemu+ ametikisa kichwa+

chake nyuma yako.

22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu

yake?

Nawe umepaaza sauti+

yako juu ya nani

Na kuinua macho+ yako juu?

Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+

23 Umemdhihaki Yehova kupitia wajumbe+ wako, nawe unasema,+

‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita+ mimi mwenyewe—

Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+

Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+

Nami nitaikata mierezi+ yake iliyotukuka, miberoshi+ yake iliyo bora.

Nami nitaingia mahali pake pa mwisho pa kukaa, msitu wa shamba lake la matunda.+

24 Mimi hakika nitachimba na kunywa maji mageni,

Nami nitaikausha mifereji yote ya Nile ya Misri kwa nyayo za miguu yangu.’+

25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+

Tangu siku zilizopita nimelifanya.+

Sasa nitalitimiza.+

Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+

26 Na wakaaji wao watakuwa na mikono minyonge;+

Wataingiwa na hofu tupu na kuona aibu.+

Watakuwa kama majani ya shambani na majani mabichi yaliyo laini,+

Majani ya dari,+ kunapokuwa na kuunguzwa mbele ya upepo wa mashariki.+

27 Nami najua vema+ kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,

Na kujichochea kwako juu yangu,+

28 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+

Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+

Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+

29 “‘Na hii itakuwa ndiyo ishara kwa ajili yako:+ Mimea inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka+ italiwa mwaka huu, na katika mwaka wa pili nafaka inayochipuka yenyewe; lakini katika mwaka wa tatu pandeni mbegu,+ na mvune na mpande mashamba ya mizabibu na kula mazao yake.+ 30 Na wale watakaoponyoka wa nyumba ya Yuda, wale wanaobaki,+ hakika watatia mizizi kwenda chini na kuzaa matunda kwenda juu.+ 31 Kwa maana mabaki watatoka katika Yerusalemu,+ na wale wanaoponyoka katika Mlima Sayuni.+ Bidii+ ya Yehova wa majeshi itatenda hayo.

32 “‘Ndiyo sababu Yehova amesema hivi kumhusu mfalme wa Ashuru:+ “Hataingia katika jiji+ hili wala hatapiga mshale+ humo wala kulikabili kwa ngao wala kujenga juu yake boma la kulizingira.+ 33 Atarudi kupitia ile njia aliyoijia, naye hataingia ndani ya jiji hili, asema Yehova.+ 34 Nami hakika nitalilinda+ jiji hili ili kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+ na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+

35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+ 36 Kwa hiyo Senakeribu+ mfalme wa Ashuru akaondoka, akaenda, akarudi,+ akaanza kukaa katika Ninawi.+ 37 Na ikawa kwamba alipokuwa akiinama nyumbani mwa Nisroki+ mungu wake,+ Adrameleki na Shareza, wanawe yeye mwenyewe, wakampiga na kumuua kwa upanga,+ nao wakakimbia, wakaenda katika nchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki