Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mtu fulani wa Benyamini akakimbia kutoka katika uwanja wa mapigano, akafika Shilo siku hiyo huku mavazi yake yakiwa yameraruliwa,+ na mavumbi yakiwa juu ya kichwa chake.+

  • 2 Wafalme 18:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa+ mwana wa Asafu karani wakaja kwa Hezekia, mavazi yao yakiwa yameraruliwa,+ wakamwambia maneno ya Rabshake.

  • Ezra 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ikawa kwamba mara tu niliposikia jambo hili nilipasua vazi+ na koti langu lisilo na mikono, nami nikaanza kung’oa sehemu ya nywele za kichwa changu+ na za ndevu zangu, nikaendelea kukaa nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+

  • Ayubu 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Ayubu akasimama, akalirarua+ koti lake lisilo na mikono, akanyoa+ kichwa chake, akaanguka chini+ na kuinama,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki