25 Ndipo nikaanza kuwalaumu na kuwalaani+ na kuwapiga watu fulani+ kati yao na kuzing’oa nywele zao na kuwaapisha kwa Mungu:+ “Hampaswi kuwapa wana wao binti zenu, wala hampaswi kuwakubali binti zao wowote kwa ajili ya wana wenu wala kwa ajili yenu.+