2 Na itatukia kwamba ikiwa yule mwovu anastahili kupigwa,+ atalazwa kifudifudi na mwamuzi na kupigwa+ mbele yake kwa hesabu inayolingana na tendo lake baya.
26 Na kila mtu ambaye hatatenda sheria ya Mungu wako+ na sheria ya mfalme, na ahukumiwe mara moja, iwe ni kifo+ au ni kufukuzwa,+ au kutozwa pesa+ au kifungo.”