Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+

  • Methali 20:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Vidonda vya mapigo ndivyo huondolea mbali ubaya;+ na mapigo, sehemu za ndani kabisa za tumbo.+

  • Methali 26:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+

  • Waebrania 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki