Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Vidonda vya mapigo ndivyo huondolea mbali ubaya;+ na mapigo, sehemu za ndani kabisa za tumbo.+ Methali 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mjeledi ni wa farasi,+ lijamu+ ni ya punda, nayo fimbo ni ya mgongo wa watu wajinga.+ Waebrania 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+
2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+