Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Macho yenu wenyewe ndiyo yaliyoona mambo ambayo Yehova alifanya katika kile kisa cha Baali wa Peori,+ kwamba kila mtu aliyemfuata Baali wa Peori ndiye ambaye Yehova Mungu wako aliangamiza kutoka katikati yako.+

  • 1 Wakorintho 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi mambo hayo yaliendelea kuwapata kuwa vielelezo, nayo yaliandikwa ili kuwa onyo+ kwetu sisi ambao tumefikiwa na miisho ya mifumo ya mambo.+

  • Yuda 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki