4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+
3Wapendwa, hii sasa ndiyo barua ya pili ninayowaandikia ninyi, ambayo katika hiyo, kama katika ile yangu ya kwanza,+ ninaamsha uwezo wenu mzuri wa kufikiri kwa njia ya kikumbusho,+