Waroma 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, ninawaandikia ninyi kwa kusema waziwazi zaidi juu ya mambo fulani, kana kwamba ninawakumbusha+ ninyi tena, kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa nilizopewa kutoka kwa Mungu+ 2 Petro 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ninaona hili kuwa sawa, maadamu ningali katika maskani hii,+ kuwaamsha ninyi kwa kuwakumbusha,+
15 Hata hivyo, ninawaandikia ninyi kwa kusema waziwazi zaidi juu ya mambo fulani, kana kwamba ninawakumbusha+ ninyi tena, kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa nilizopewa kutoka kwa Mungu+
13 Lakini ninaona hili kuwa sawa, maadamu ningali katika maskani hii,+ kuwaamsha ninyi kwa kuwakumbusha,+