Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Au, je, yeye hasemi hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli hilo liliandikwa kwa ajili yetu,+ kwa sababu mtu anayelima anapaswa kulima akiwa na tumaini na mtu anayepura anapaswa kupura akiwa na tumaini la kula.+

  • Waebrania 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini Kristo alikuwa mwaminifu akiwa Mwana+ juu ya nyumba yake Huyo. Sisi ni nyumba yake Huyo,+ ikiwa tunashikilia sana uhuru wetu wa kusema na kujisifu kwetu juu ya tumaini, imara mpaka mwisho.+

  • 1 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Manabii, waliotoa unabii+ juu ya fadhili zisizostahiliwa zilizokusudiwa ninyi,+ walifanya uchunguzi kwa bidii na kutafuta kwa uangalifu habari kuhusu wokovu huu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki