Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Hagai 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “ ‘Nami nitayatikisa mataifa yote, navyo vitu vyenye kutamanika vya mataifa yote vitaingia;+ nami nitaijaza nyumba hii utukufu,’+ asema Yehova wa majeshi.

  • Zekaria 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe umwambie,

      “‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki