Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawavunja kwa fimbo ya chuma ya enzi,+

      Utawavunja vipande-vipande, kama chombo cha mfinyanzi.”+

  • Zaburi 110:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova mwenyewe akiwa upande wako wa mkono wa kuume+

      Hakika atawavunja vipande-vipande wafalme katika siku ya hasira yake.+

  • Isaya 60:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+

  • Danieli 11:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye atasimamisha mahema yake makubwa kati ya ile bahari kuu na mlima mtakatifu wa lile Pambo;+ naye ataenda mpaka mwisho wake,+ wala hatakuwa na wa kumsaidia.+

  • Ufunuo 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na upanga mrefu mkali unachomoza kutoka kinywani mwake,+ ili ayapige mataifa nao, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Yeye anakanyaga pia shinikizo la divai+ ya hasira ya ghadhabu ya Mungu+ Mweza-Yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki