Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+

  • Yeremia 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova.

  • Ezekieli 39:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vya watu vitakavyokuwa pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wenye kuwinda, na ndege wa kila namna ya bawa, na wanyama wa mwituni.” ’+

  • 2 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki