Yeremia 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 ‘Kelele zitasikika mpaka kwenye miisho ya dunia,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya mataifa. Yeye binafsi atawahukumu wanadamu wote.*+ Naye atawaangamiza waovu kwa upanga,’ asema Yehova. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:31 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 22
31 ‘Kelele zitasikika mpaka kwenye miisho ya dunia,Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya mataifa. Yeye binafsi atawahukumu wanadamu wote.*+ Naye atawaangamiza waovu kwa upanga,’ asema Yehova.