Yoeli 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitakusanya pia mataifa yoteNa kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.* Na humo nitawahukumu+Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+
2 Nitakusanya pia mataifa yoteNa kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.* Na humo nitawahukumu+Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+