-
Ezekieli 35:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili zitakuwa zangu, nasi tutazimiliki zote mbili,’+ hata ingawa Yehova mwenyewe alikuwa humo, 11 ‘kwa hiyo kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitakutendea kulingana na hasira ileile na wivu uleule ulioonyesha ulipowachukia;+ nami nitajijulisha miongoni mwao nitakapokuhukumu.
-
-
Sefania 2:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+
Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+
9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,
“Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+
Na Waamoni kama Gomora,+
Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+
Watu wangu waliobaki watawapora,
Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.
-