Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Amosi 1:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Waamoni,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu waliwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa Gileadi ili wapanue eneo lao wenyewe.+

      14 Basi nitaushushia moto ukuta wa Raba,+

      Nao utateketeza kabisa ngome zake zenye minara,

      Kwa kelele za vita katika siku ya mapigano,

      Kwa tufani katika siku ya kimbunga.

      15 Na mfalme wao atapelekwa uhamishoni pamoja na wakuu wake,”+ asema Yehova.’

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Vivyo hivyo, watu wa Sodoma na Gomora na majiji ya karibu walifanya uasherati* wa kupindukia na kufuatilia tamaa za mwili zilizo kinyume cha maumbile;+ wamewekwa mbele yetu kama onyo kwa sababu walihukumiwa adhabu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki