Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitatekeleza hukumu katika Moabu,+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

  • Amosi 2:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Moabu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu aliiteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu kwa ajili ya chokaa.

       2 Kwa hiyo nitaishushia moto Moabu,

      Nao utateketeza kabisa minara ya Keriothi yenye ngome;+

      Moabu itakufa katika ghasia,

      Kwa kelele za vita, kwa mlio wa pembe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki