2 “Yehova anasema hivi:
‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,
Kwa sababu aliiteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu kwa ajili ya chokaa.
2 Kwa hiyo nitaishushia moto Moabu,
Nao utateketeza kabisa minara ya Keriothi yenye ngome;+
Moabu itakufa katika ghasia,
Kwa kelele za vita, kwa mlio wa pembe.+