8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu watu wa Moabu+ na Seiri+ wamesema, “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,” 9 ninauacha wazi mpaka wa Moabu kwenye majiji yake ya mpakani, uzuri wa nchi yake, Beth-yeshimothi, Baal-meoni, hadi Kiriathaimu.+