Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 48:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Tumesikia kuhusu kiburi cha Moabu—ana majivuno sana—

      Kuhusu kujisifu kwake, kiburi chake, majivuno yake, na jinsi moyo wake ulivyotutumuka.”+

      30 “‘Ninajua ghadhabu yake,’ asema Yehova,

      ‘Lakini maneno yake matupu yatakuwa ya bure.

      Hayatafanya chochote.

  • Ezekieli 25:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu watu wa Moabu+ na Seiri+ wamesema, “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,” 9 ninauacha wazi mpaka* wa Moabu kwenye majiji yake ya mpakani, uzuri wa* nchi yake, Beth-yeshimothi, Baal-meoni, hadi Kiriathaimu.+

  • Sefania 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nimesikia shutuma za Moabu+ na matusi ya Waamoni,+

      Ambao wamewadhihaki watu wangu na kujigamba kwa vitisho dhidi ya eneo lao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki