Isaya 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tangazo dhidi ya Moabu:+ Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Kiri+ la Moabu limenyamazishwa. Yeremia 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+ Amosi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Moabu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu aliiteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu kwa ajili ya chokaa.
15 Tangazo dhidi ya Moabu:+ Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.
48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+
2 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Moabu,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu aliiteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu kwa ajili ya chokaa.