Yeremia 25:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova. Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:31 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 22
31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova.