30 “ ‘Kwa hiyo nitawahukumu ninyi kila mmoja kulingana na njia yake,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Geukeni, naam, geukeni na kuyaacha makosa yenu yote,+ na chochote kisiwe kwenu kikwazo kinachosababisha kosa.+
2 mimi pia nitayakusanya pamoja mataifa yote+ na kuwaleta kwenye bonde la Yehoshafati;+ nami huko nitajiweka katika hukumu nao kwa sababu ya watu wangu na urithi wangu Israeli,+ ambao wamewatawanya katikati ya mataifa; nao waligawanya nchi yangu mwenyewe.+