Hosea 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Na wewe inakupasa kurudi kwa Mungu wako,+ ushike fadhili zenye upendo+ na haki;+ nawe umtumaini Mungu wako sikuzote.+ Yoeli 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+ Mathayo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 akisema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.”+
6 “Na wewe inakupasa kurudi kwa Mungu wako,+ ushike fadhili zenye upendo+ na haki;+ nawe umtumaini Mungu wako sikuzote.+
13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu;+ rudini kwa Yehova Mungu wenu, kwa maana yeye ana neema na rehema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo,+ naye hakika atajuta kwa sababu ya msiba huo.+